Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MFUMO wa kuingia Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa tiketi za Elektroniki utaanza rasmi kutumika Oktoba 1, mwaka huu katika mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye leo mchana katika mkutano wake na Waandishi wa Habari Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Waandishi kadhaa wa habari michezo nchini leo wamepata fursa ya kupata maelezo ya kutumia huo mfumo mpya wa kieletroniki wa kuingia uwanjani baada ya kufungwa na kampuni ya Selcom iliyopewa zabuni hiyo.
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo
Nnauye alisema kabla ya mfumo huo wa kieletroniki kuanza kutumika rasmi katika mchezo wa watani, Simba na Yanga Oktoba 1 – utafanyiwa majaribio takribani mara mbili au tatu.
Aidha Waziri Nape pia amebainisha kuwa hakuna gharama za ziada ambayo Serikali imeingia katika ufungaji wa mfumo huo wa kieletroniki uwanjani hapo kwani hilo lilikuwa ndani ya mkataba wa wajenzi wa uwanja huo kampuni ya BCG.
Kwa mujibu wa Meneja Mradi na mshauri wa mifumo wa Selcom Gallus Runyeta mfumo huo unaweza kupitisha watu 100,002 kwa saa tatu hivyo kuondoa uwezekano wa kuwepo msongamano wakati wa kuingia uwanjani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2cO4xCh
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms