Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KLABU ya Azam FC imeachana na mshambuliaji wake, Mghana, Yahya Mohammed baada ya makubaliano ya pande zote mbili.
Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi Maganga amesema kwamba, klabu imeachana na mchezaji huyo rasta baada ya kutoridhishwa na uwajibikaji wake kwenye timu.
“Yalikuwa makubaliano baina yetu, baada ya sisi kama klabu kutoridhishwa na mchango wake kwetu, hivyo kuanzia sasa yuko huru,”amesema Jaffar.
Yahya alisajiliwa Azam FC kwa matarajio makubwa Juni mwaka jana kwa dau la dola za Kimarekani, 100,000 zaidi ya Sh. Milioni 220 kutoka Aduana Stars ya kwao.
Azam FC imeachana na mshambuliaji wake, Mghana, Yahya Mohammed baada ya makubaliano ya pande zote mbili
Alikuwa miongoni mwa wachezaji watano wa Ghana waliosajiliwa Azam FC wakati huo, wengine ni Daniel Amoah, Enoch Atta Agyei kutoka Medeama SC, Samuel Afful kutoka Sekondi Hasaacas na Yakubu Mohammed kutoka Aduana Stars pia.
Mwanzoni mwa msimu, Azam FC ilimtema Afful na kumsajili kipa Mghana pia, Razak Abalora kutoka klabu ya Wafa ya kwao. Jaffar amesema baada ya kuondolewa kwa Yahya, kocha Mromania, Aristica Cioaba amepewa jukumu la kusajili mshambuliaji mwingine.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2zCPc5g
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC ‘YAMTUPIA VIRAGO’ RASTA MGHANA YAHYA MOHAMMED. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/11/azam-fc-yamtupia-virago-rasta-mghana.html. Terimakasih atas perhatiannya.