Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limefanyia marekebisho ratiba ya michuano ya Azam Sports Federation Cup.
Mchezo kati ya Forodhani FC ya Mara na Ambassodor ya Kahama umesimamishwa na mchezo kati ya Bulyanhulu na Area C, sasa utafanyika kesho Jumatano Novemba 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga.
Mchezo kati ya Forodhani FC ya Mara na Ambassodor ya Kahama, umesimamishwa kusubiri uamuzi wa Kamati ya Mashindano baada ya Baruti ambayo imelete malalamiko kuhusu nafasi yake.
Michezo mingine inayochezwa leo Jumanne ni Msange na Mirambo kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi; Pepsi na Kilimanjaro Heroes kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga; Mji Mkuu na Nyundo kwenye Uwanja wa Mpwapwa mkoani Dodoma.
Eleven Stars itacheza na Ndovu kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera, Changanyikeni itacheza na Reha Uwanja wa Bandari, Dar es Salaam wakati Bodaboda itacheza na Kitayosce Uwanja wa Nyerere, Mbulu mkoani Manyara.
Mbali ya mchezo kati ya Bulyanhulu na Area C, mechi nyingine za kesho Jumatano, Novemba 8 zitakuwa ni kati ya Cosmopolitan na Abajalo kwenye Uwanja wa Mabatini mkoani Pwani wakati makumba Rangers watacheza na Green Warriors kwenye Uwanja wa Bandari, Dar es Salaam.
AFC ya Arusha itaikaribisha Nyanza FC kwenye Uwanja wa Ushirika; Boma Fc na African Sports watacheza kwenye Uwanja wa Ushirika; huku Motochini ikicheza na Ihefu wakati Stand Misuna watacheza na Madini ilihali Burkina FC itaialika Mbinga United kadhalika Mkamba Rangers itacheza na Makambako FC kwenye Uwanja wa Sabasaba.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2zrbEeM
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TFF YASIMAMISHA MECHI AZAM SPORTS FEDERATION CUP. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/11/tff-yasimamisha-mechi-azam-sports.html. Terimakasih atas perhatiannya.