Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KOCHA Mzambia wa Yanga, George Lwandamina anatarajiwa kuondoka leo usiku kurejea kwao Zambia kufuatia kufiwa na mpwa wake.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online leo mjini Dar es Salaam, Lwandamina amesema kwamba amepata msiba nyumbani na analazimika kuondoka mara moja.
Lwandamima amesema kwamba anatarajia kurejea nchini Jumanne wiki ijayo kuendelea na maandalizi ya mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Kocha wa Yanga, George Lwandamina amefiwa na mpwa wake Zambia
Jumamosi Yanga ililazimishwa sare ya ya 0-0 na wenyeji, Singida United Uwanja wa Namfua mkoani Singida katika mchezo wa Ligi Kuu.
Sare hiyo ya pili mfululizo baada ya Jumamosi iliyopita pia kutoka 1-1 na mahasimu wao wa jadi, Simba inaifanya Yanga ifikishe pointi 17 baada ya kucheza mechi tisa, wakati Singida inafikisha pointi 14 baada ya mechi tisa pia.
Mabingwa hao watetezi, watateremka tena uwanjani Novemba 19 kumenyana na Mbeya City Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.
Pole kocha Lwandamina. Na Mungu ampumzishe kwa amani mpendwa wetu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2y5HvQz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang POLE KOCHA LWANDAMINA…APATA MSIBA ZAMBIA, ANAONDOKA LEO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/11/pole-kocha-lwandaminaapata-msiba-zambia.html. Terimakasih atas perhatiannya.