Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta anatakiwa kuwa nje kwa zaidi ya wiki sita kufuatia kuumia goti Jumamosi akiichezea klabu yake, KRC ikilazimishwa sare ya 0-0 Jumamosi na Lokeren katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online mchana huu kwa simu kutoka Genk, Samatta amesema kwamba baada ya kufanyiwa vipimo imegundulika mishipa midogo ya kwenye goti lake la mguu wa kulia imechanika, hivyo atahitaji kufanyiwa upasuaji mdogo ili apone sawia.
“Kuchanika kwa mishipa midogo ya goti, hivyo itachukua wiki sita au zaidi ili kupona, halafu kuna mshipa mwingine (meniscus) umepata tatizo, inatakiwa kufanyiwa upasuaji ndogo kuuweka katika hali nzuri ili isije kusumbua baadaye, hivyo kipindi cha kukaa nje ni wiki sita au zadi,” amesema.
Samatta sasa hataweza kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa ajili ya mchezo dhidi ya Benin Novemba 11, mwaka huu.
Samatta alidumu uwanjani kwa dakika 40 Jumamosi tu kabla ya kuumia na kumpisha Nikolaos Karelis aliyekuwa anacheza kwa mara ya pili tangu arejee uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu kutokana na kuwa majeruhi.
Baada ya kucheza nyumbani mfululizo mechi za kirafiki za kimataifa, Taifa Stars itatoka mwezi huu kwenda Benin kucheza na wenyeji Novemba 11, mwaka huu na kikosi cha wachezaji 24 kilichoingia kambini jana mjini Dar es Salaam, kitaondoka Alhamisi kwenda Benin tayari kwa mchezo huo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hO6IZO
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA NJE WIKI SITA…MAUMIVU YAKE YANAHITAJI ‘KISU’. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/11/samatta-nje-wiki-sitamaumivu-yake.html. Terimakasih atas perhatiannya.