Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BAO pekee la mshambuliaji kinda, Yahya Zayed dakika ya tano, limeipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Kwa ushindi huo, Azam FC ya kocha Mromania Aristica Cioaba inafikisha pointi 41 baada ya kucheza mechi 20 na kupanda hadi nafasi ya pili, mbele ya mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 40 za mechi 19.
Yanga inaweza kurudi nafasi ya pili kama itashinda dhidi ya Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu.
Mechi nyingine za Ligi Kuu leo; Lipuli FC imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Njombe Mji FC Uwanja wa Samora mjini Iringa.
Mabao ya Lipuli yamefungwa na Jerome Lambele dakika ya nane na Adam Salamba dakika ya 77, huku David Obash akiifungia Njombe Mji dakika ya 33.
Stand United imelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons ya Mbeya Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, wakati bao pekee la John George limeipa ushindi wa 1-0 Ndanda FC dhidi ya Maji Maji Uwanja wa Maji Maji mjini Songea.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2oYlAaE
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms