Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KITENDO cha Maji Maji kushika nafasi ya pili kutoka mkiani, imesababisha wachezaji wa timu hiyo kutopata mapumziko mafupi kama ilivyo zingine zinashiriki Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Kocha Mkuu wa timu hiyo, Habib Kondo alisema katika kipindi hiki cha mapumziko ya ligi hiyo kupisha ratiba ya timu ya taifa na michuano ya kombe la shirikisho Tanzania, wamekuwa wakiendelea na mazoezi.
Alisema kulingana na nafasi walikuwepo katika msimamo wa ligi hiyo, ameamua kufanya hivyo ili kuendelea mazoezi kwa ajili ya kujiweka fiti na kuongeza wachezaji vijana kutoka kikosi B kutia nguvu ndani ya timu hiyo.
“Machi 8, tunatarajia kucheza na Mbao FC, katika mechi hiyo kikosi chetu kitaanza kuonekana kipya kwa sababu kuna wachezaji wengi wa timu ‘B’ tumewajumuisha ili kuziba mapengo ya wachezaji walioondoka,” alisema Kondo.
Alisema ana imani mazoezi hayo yatawajenga kuhakikisha wanafanya vizuri katika michezo iliyobakia kwa ajili ya kujiweka katika mazingira mazuri ya kuendelea kubaki katika ligi hiyo.
Kwa sasa Maji Maji inashika mkia katika Ligi ya timu 16, ikiwa na pointi 16 baada ya kucheza mechi 22.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2HMaayp
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms