Na Mwandishi Wetu, MBEYA
TIMU ya Mbao FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.
Ushindi huo unaifanya Mbeya City ifikishe pointi 24 baada ya kucheza mechi 21 na kupanda kwa nafasi mbili hadi ya saba, wakati Mbao FC inabaki nafasi ya 12 katika Ligi Kuu ya timu 16, kwa pointi zake 19 za mechi 21 pia.
Mabao ya Mbeya City mchezo wa leo yamefungwa na beki wake hodari, John Kabanda dakika ya 28 na mshambuliaji Eliud Ambokike dakika ya 47, ambaye hilo linakuwa bao lake la tisa msimu huu.
Eliud Ambokike leo amefunga bao lake la tisa msimu huu wa Ligi Kuu Mbeya City ikiichapa Mbao FC 2-1
Mchezo mwingine wa Ligi Kuu leo, Singida United imelazimishwa sare ya 1-1 na Ruvu Shooting Uwanja wa Namfua mjini Singida.
Ruvu Shooting walitangulia kwa bao la Issa Kanduru dakika ya tisa, kabla ya beki Kennedy Wilson kuisawazishia Singida dakika ya 73.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2G3VAD3
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms