Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Njombe Mji FC umesema una imani na kocha wao, Ally Bushiri atawavusha katika Robo Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Njombe itakuwa ugenini dhidi ya Stand United mchezo wa Robo Fainali ya ASFC unaotarajiwa kufanyika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga, Machi 30 mwaka huu.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online leo, Katibu Mkuu wa Njombe Mji FC, Obedi Mwakasungula alisema kwamba wamekwishaweka mikakati ya kufanya vizuri katika mchezo huo huku wakiwa na imani na kocha huyo.
Alisema kikosi chao kinaendelea vyema na mazoezi na maandalizi kwa ujumla na hakuna majeruhi hata mmoja.
"Tangu amekuja kocha Bushiri tumeona mabadiliko kwenye timu yetu, pia hatuwezi kuwadharau Stand, ni timu nzuri imefanya mabadiliko kwa kuongeza nguvu benchi lake la ufundi kama ilivyo kwetu," alisema.
Mwakisungula alisema malengo yao kuhakikisha wanasonga mbele katika michuano hiyo na wana imani na wachezaji wao wanaweza kuwafikisha pale wanapotarajia katika michuano hiyo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2DDnLpn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms