Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha Simba SC kimerejea mjini Dar es Salaam mchana wa leo kutoka nchini Misri, ambako Jumamosi kilitolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua 32 Bora baada ya sare ya 0-0 katika mchezo wa marudiano na wenyeji, Al Masry Uwanja wa Port Said.
Kwa sare hiyo, Simba SC imetolewa kwa mabao ya ugenini kufuatia sare ya 2-2 katika mchezo wa kwanza Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam Machi 7.
Hii inakuwa michuano ya pili Simba kutolewa msimu huu, baada ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) na sasa Simba SC wanaelekeza nguvu zao kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ambako wanaongoza.
Simba SC ina pointi 46 baada ya kucheza mechi 20, wakati mabingwa watetezi, Yanga SC wanafuatia kwa pointi zao 46 pia baada ya kucheza mechi 21, lakini wanazidiwa wastani wa mabao ya kufunga na kufungwa.
Kwa sasa Ligi Kuu imesimama kwa muda mechi za kimatafa zilizo katika kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) na mechi za Robo Fainali ya Azam Sports Federation (ASFC).
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2u2MyDX
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms