Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIUNGO wa Yanga SC, Papy Kabamba Tshitshimbi amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Februari, mwaka huu.
Tshishimbi, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) aliye katika msimu wake wa kwanza Yanga SC baada ya kusajiliwa kutoka Mbabane Swallows ya Swaziland, ametwaa tuzo hiyo akiwashinda mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi na kiungo mwenzake Jangwani, Pius Buswita.
Katika mwezi Februari, Okwi aliongoza kwa kufunga mabao, akifunga mara nne akifuatiwa na Tshishimbi matatu na Buswita mawili.
Papy Kabamba Tshitshimbi ndiye Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Februari
Lakini Tshishimbi alikuwa ana pasi ya bao pia kwenye mwezi huo na bahati nzuri kwake hakuonyeshwa kadi yoyote, wakati Okwi alionyeshwa kadi ya njano.
Kingine kilichombeba Tshishimbi kumbwaga Okwi ni kuiwezesha Yanga SC kukusanya pointi 12 Februari, wakati Simba ilivuna pointi 10 tu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2GkgeyF
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms