KIPA mstaafu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Robert Kidiaba Muteba, maarufu kwa ushangiliaji wake wa kiruka kichura chura enzi zake amechaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Upper Katanga nchini mwake.
Kidiaba, ambaye enzi zake anacheza pamoja na umahiri wa kuokoa michomo pia alikuwa kipenzi cha mashabiki kwa staili yake ya kushangilia kwa kuruka kichura chura sasa ndiye Mbunge mpya wa Upper Katanga.
Kidiaba kwa sasa ni Kocha Msaidizi wa klabu aliyoichezea kwa muda mrefu, TP Mazembe ya Lubumbashi, DRC.
Enzi zake akiwa na TP Mazembe, aliisaidia klabu hiyo kigogo cha Kongo kushinda mataji matatu ya Ligi y Mabingwa Afrika kuanzia mwaka 2009 hadi 2015.
Kidiaba mwenye umri wa miaka 42 sasa, alistaafu soka ya ushindani mwaka 2015 na kuhamia kwenye siasa akijiunga na chama cha upinzani, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (NPDD).
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2QDdEr1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms