Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KATIKA jitihada za kukuza kiwango cha soka ya ufukweni, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeamua kuanzisha Ligi Kuu ya soka la ufukweni Tanzania Bara (BSL) inayotarajiwa kuanza Februari 9 hadi Aprili 14, mwaka huu, 2019.
Ligi hiyo itakua inachezwa kwenye Uwanja wa COCO BEACH uliopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam kila Jumamosi na Jumapili kuanzia saa 8 mchana mpaka 12 jioni.
Taarifa ya Afisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Mario Ndimbo leo imesema kwamba kuelekea kwenye Ligi hiyo shirikisho hilo limeanza kusajili klabu zenye sifa na vigezo kwa ajili ya kushiriki.
Ndimbo amesema kwamba Fomu za usajili zinapatika katika ofisi za TFF Makao Makuu, Karume, Ilala Dar es Salaam kwa ada ya shilingi laki moja (100,000).
Amesema kila timu itapatiwa mipira miwili ya soka la ufukweni kutoka TFF baada ya kukamilisha usajili na kulipa Ada ya usajili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2TncH8e
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms