Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hilo likiwa bao la 25 kwa Muargentina huyo katika mechi 24 za mashindano yote msimu huu. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Ousmane Dembele dakika ya 32 na Luis Suarez dakika ya 71 na kwa ushindi huo, timu hiyo ya Katalunya inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 20 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atlético Madrid wanaofuatia nafasi ya pili na 10 zaidi ya Real Madrid walio nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2AV8aTz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MESSI AFUNGA BAO LA 25 MECHI YA 24 BARCA IKISHINDA 3-1. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/01/messi-afunga-bao-la-25-mechi-ya-24.html. Terimakasih atas perhatiannya.