Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemrejesha Yono Kevela kuendelea kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga katika uchaguzi wa Januari 13, mwaka huu mjini Dar es Salaam.
Hiyo ni baada ya Kevela kukata rufaa akilalamikia maamuzi ya kuenguliwa jina lake kwenye majina ya wagombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kwa madai aliomba nafasi mbili, nyingine ya Uenyekiti.
Na baada ya kikao cha Kamati hiyo ilikutana chini ya Mwenyekiti wake Kenneth Mwenda kusikiliza utetezi wa Kevela dhidi ya Kamati ya Uchaguzi iliamua kumrudisha kuwa mmoja wa Wagombea katika nafasi hiyo.
Yono Kevela (kulia) amerejeshwa kuendelea kugombea Umakamu Mwenyekiti Yanga katika uchaguzi wa Januari 13
Rufaa nyingine iliyowasilishwa katika Kamati hiyo ni ya Mhandisi Leonard Marango ambaye hakuridhishwa na maamuzi ya Kamati ya Uchaguzi kama Kevela.
Kamati ilisikiliza utetezi wa Marango aliyesema kwamba hakufika kwenye usaili katika siku zillizopangwa kwa sababu alisafiri na kuchelewa kufika kwa wakati.
Lakini baada ya kusikiliza utetezi wake, Kamati ilijiridhisha kuwa Marango alishindwa kuhudhuria usaili bila taarifa yoyote hivyo imetupilia mbali rufaa hiyo.
Kevela sasa anaungana na Titus Eliakim Osoro na Salum Magege Chota kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, wakati wagombea Uenyekiti ni Dk. Jonas Benedict Tiboroha, Mbaraka Hussein Igangula na Erick Ninga.
Kuna wagombea 16 wa nafasi za Ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu ambao= ni Hamad Ally Islam, Benjamin Jackson Mwakasonda, Sylvestre Haule, Salim Seif, Shafil Amri, Said Kambi, Dominick Francis, Seko Jihadhari, Ally Omar Msigwa, Arafat Ally Hajji, Frank Kalokola, Ramadhani Said, Leonard Marango, Bernard Faustin Mabula, Christopher Kashiririka na Athanas Peter Kazige.
Uchaguzi wa Januari 13 mjini Dar es Salaam ni maalum kuziba nafasi za wagombea waliojiuzulu kwa wakati tofauti baada ya uchaguzi wa Juni 11 mwaka 2016.
Waliojiuzulu ni aliyekuwa Mwenyekiti Yussuf Manji, Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga na Wajumbe wanne, Omary Said Amir, Salum Mkemi, Ayoub Nyenzi na Hashim Abdallah.
Waliobaki katika Kamati ya Utendaji ni wane tu ambao ni Siza Augustino Lymo, Tobias Lingalangala, Samuel Lukumay na Hussein Nyika.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2RxBucp
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TFF YAMREJESHA KEVELA KUGOMBEA UMAKAMU MWENYEKITI YANGA SC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/01/tff-yamrejesha-kevela-kugombea-umakamu.html. Terimakasih atas perhatiannya.