• Home
  • About Us
  • Contact Us
  • Disclaimer
  • Sitemap
  • Privacy Policy

Viral Sports

MENU

  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
  • BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
  • Hollywoodbets Sports Blog

Mengenai Saya

admin blog
Lihat profil lengkapku

Arsip Blog

  • ►  2025 (244)
    • ►  September (1)
    • ►  Juli (2)
    • ►  Juni (8)
    • ►  Mei (44)
    • ►  April (66)
    • ►  Maret (36)
    • ►  Februari (57)
    • ►  Januari (30)
  • ►  2024 (832)
    • ►  Desember (57)
    • ►  November (49)
    • ►  Oktober (54)
    • ►  September (67)
    • ►  Agustus (63)
    • ►  Juli (78)
    • ►  Juni (68)
    • ►  Mei (84)
    • ►  April (92)
    • ►  Maret (77)
    • ►  Februari (65)
    • ►  Januari (78)
  • ►  2023 (1299)
    • ►  Desember (79)
    • ►  November (75)
    • ►  Oktober (88)
    • ►  September (95)
    • ►  Agustus (112)
    • ►  Juli (125)
    • ►  Juni (126)
    • ►  Mei (117)
    • ►  April (148)
    • ►  Maret (135)
    • ►  Februari (82)
    • ►  Januari (117)
  • ►  2022 (1404)
    • ►  Desember (71)
    • ►  November (79)
    • ►  Oktober (117)
    • ►  September (120)
    • ►  Agustus (115)
    • ►  Juli (119)
    • ►  Juni (121)
    • ►  Mei (123)
    • ►  April (121)
    • ►  Maret (119)
    • ►  Februari (130)
    • ►  Januari (169)
  • ►  2021 (2522)
    • ►  Desember (170)
    • ►  November (124)
    • ►  Oktober (138)
    • ►  September (190)
    • ►  Agustus (154)
    • ►  Juli (141)
    • ►  Juni (133)
    • ►  Mei (134)
    • ►  April (252)
    • ►  Maret (348)
    • ►  Februari (355)
    • ►  Januari (383)
  • ►  2020 (4463)
    • ►  Desember (387)
    • ►  November (405)
    • ►  Oktober (348)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (435)
    • ►  Juli (433)
    • ►  Juni (372)
    • ►  Mei (244)
    • ►  April (248)
    • ►  Maret (355)
    • ►  Februari (392)
    • ►  Januari (450)
  • ▼  2019 (4532)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (367)
    • ▼  Oktober (420)
      • Win with Betgames Africa and Hollywoodbets
      • SIMBA SC WAHAMISHIA HASIRA ZOTE KWA MBEYA CITY BAA...
      • YANGA SC YAWAFUATA PYRAMIDS FC KIKAMILIFU KUJARIBU...
      • Breeder's Cup 2019 - Day 1 Preview - Juvenile Races
      • MBAO FC CHUPUCHUPU KUPIGWA TENA KIRUMBA, YACHOMOA ...
      • International Best Bets - Friday 1 November 2019
      • International Racing: Kranji Best Bets – Friday 1s...
      • F1 2019: United States Grand Prix Preview
      • #GDogInJapan - East Coast Radio Rugby World Cup Up...
      • Kenilworth Best Bets - Saturday 2 November 2019
      • SAMATTA AFUNGA BAO MUHIMU KRC GENK YATOKA NYUMA NA...
      • Hollywoodbets Greyville Best Bets - Friday 1 Novem...
      • Fairview Best Bets - Friday 1 November 2019
      • RONALDO AFUNGIA DAKIKA YA MWISHO JUVE YAICHAPA GEN...
      • RODRYGO AFUNGA REAL MADRID YAICHAPA LEGANES 5-0 LA...
      • RASHFORD AIPELEKA MANCHESTER UNITED ROBO FAINALI C...
      • LIVERPOOL YAING'OA ARSENAL KWA MATUTA CARABAO BAAD...
      • Rugby World Cup: 3rd/4th Play-Off - New Zealand vs...
      • Vaal Best Bets Thursday 31 October 2019
      • UK Racing Tips - Thursday 31 October 2019
      • Breeders Cup 2019 - Trainer Interviews
      • Third T20I: Australia vs Sri Lanka
      • Gritty Dolphins live to fight on at the Wanderers
      • Word Cup Final: South Africa vs England Preview
      • Rugby World Cup News: Finals Week
      • SIMBA SC YAPUNGUZWA KAZI SHINYANGA, YACHAPWA 1-0 N...
      • AZAM FC MAZOEZINI KUJIANDAA NA MCHEZO UJAO WA LIGI...
      • PGA Tour/European Tour: WGC HSBC Champions Preview
      • PGA Tour: Bermuda Championship Preview
      • English Premier League: Week 11 Preview
      • German Bundesliga: Week 10 Preview
      • Telkom Knockout: Quarter-finals Preview
      • MESSI APIGA MBILI BARCELONA YAICHAPA REAL VALLADOL...
      • Telkom Knockout Quarterfinal: Kaizer Chiefs v Orla...
      • Hollywoodbets Greyville Best Bets - Wednesday - 30...
      • NFD: Week 10 Preview
      • Halloween Promotion: Terms and Conditions
      • AGUERO APIGA MBILI MANCHESTER CITY YAICHAPA SOUTHA...
      • AISHI MANULA KUSIMAMA LANGONI KWA MARA YA 100 LEO ...
      • Returning Dudgeon's four-for a shining light for t...
      • Charlie Appleby Trainer Interview - Breeders Cup 2019
      • UK Racing Best Bets - Wednesday 30 October 2019
      • WTA Tour: Tour Championship | Selected Purple Grou...
      • ATP Tour: Rolex Paris Masters | Round of 32 Preview
      • Opinion: The summer of Stokes could continue at th...
      • First T20I: New Zealand vs England
      • International Racing: Happy Valley – Wednesday 30t...
      • Rugby World Cup Promotion: Stand a Chance to Win 1...
      • UK Racing Best Bets - Tuesday 29 October 2019
      • AISHI MANULA ALIVYOPATA MAPOKEZI MAZURI SIMBA SC I...
      • EBITOKE AFURAHISHWA NA MAHUSIANO MAZURI YA KIMTAND...
      • Wickets needed on day two in JHB
      • MAHOJIANO MAALUM BIN ZUBEIRY NA INNOCENT HAULE
      • MBEYA CITY YAZINDUKA NA KUICHAPA MBAO FC 2-1 KIRUM...
      • KZN Coastal Women's Side off to Winning Start
      • 5 Key Takeaways from this Weekend’s RWC Semi-Finals
      • Muthusamy back for Dolphins trip to Joburg
      • Comment & Win Campaign – Win 1 of 2 R500 Betting V...
      • YANGA SC 1-2 PYRAMIDS FC (KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA)
      • Second T20I: Australia vs Sri Lanka
      • UK Racing Tips - Monday 28 October 2019
      • REFA AKATAA BAO LA ARSENAL YATOA SARE 2-2 NA CRYST...
      • MAN UNITED WAKOSA PENALTI MBILI, WASHINDA 3-1 UGENINI
      • LIVERPOOL YAICHAPA SPURS 2-1 ANFIELD, SASA YAIZIDI...
      • SIMBA SC YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI KUU, AZA...
      • YANGA SC YACHUNGULIA MLANGO WA KUTOKEA AFRIKA, YAC...
      • NYOTA WA YANGA SC 1992, ZIMBWE, MZIBA, ASWILE NA I...
      • YANGA SC UAMUZI NI WENU KUSUKA AMA KUNYOA DHIDI YA...
      • SAMATTA ATOLEWA DAKIKA ZA MWISHONI GENK YAICHAPA 1...
      • UK Racing Best Bets - Sunday 27 October
      • PULISIC APIGA HAT TRICK CHESLEA YAICHAPA BURNLEY 4...
      • MAN CITY YAICHAPA ASTON VILLA 3-0 NA KUIKARIBIA LI...
      • MECHI ZA NDANDA FC ZAAHIRISHWA BAADA YA TIMU KUPAT...
      • MTIBWA SUGAR YAICHAPA POLISI TANZANIA 2-0 MCHEZO W...
      • International Racing: Sha Tin Best Bets - Sunday 2...
      • TFF YAMPA MKATABA WA MWAKA MMOJA NDAYIRAGIJJE KUWA...
      • WACHEZAJI WATANO WAUMIA BAADA YA BASI LA NDANDA SC...
      • Turffontein Best Bets Saturday, 26 October 2019
      • UK Racing Best Bets - Saturday 26 October 2019
      • F1 2019: Mexican Grand Prix
      • Gallagher Premiership: Round 2 Preview
      • Phaka Predictions | Rugby World Cup Semi Finals
      • PSL: Mamelodi Sundowns v Kaizer Chiefs Preview
      • Betgames Africa Promotion: Bet On War Of Bets & St...
      • First T20I: Australia vs Sri Lanka
      • MSUVA APIGA BAO LA TATU JADIDA YASHINDA 3-0 NA KUT...
      • PRO14: Round 5 Preview
      • MAN UNITED YASHINDA MECHI YA KWANZA UGENINI TANGU ...
      • NICOLAS PEPE APIGA BAO MBILI ZA HATARI ARSENAL YAS...
      • Chetty helps Dolphins to draw in PMB
      • UK Racing Tips - Friday 25 October 2019
      • KAGERA SUGAR YAICHAPA MBEYA CITY 4-1 KATIKA MECHI ...
      • English Premier League: Gameweek 10 Preview
      • MO DEWJI AWAZAWADIA WACHEZAJI SIMBA SC PIKIPIKI, S...
      • KILIMANJARO QUEENS YAPANGWA NA ZANZIBAR, BURUNDI N...
      • International Racing: Kranji Best Bets – Friday 25...
      • English Premier League: Gameweek 10 Preview
      • Hollywoodbets Greyville Best Bets - Friday - 25 Oc...
      • Springboks Named to face Wales in Rugby World Cup ...
      • SIMBA SC 1-0 AZAM FC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (411)
    • ►  Juli (364)
    • ►  Juni (318)
    • ►  Mei (360)
    • ►  April (382)
    • ►  Maret (419)
    • ►  Februari (365)
    • ►  Januari (404)
  • ►  2018 (5483)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (450)
    • ►  Oktober (535)
    • ►  September (484)
    • ►  Agustus (487)
    • ►  Juli (481)
    • ►  Juni (431)
    • ►  Mei (483)
    • ►  April (393)
    • ►  Maret (435)
    • ►  Februari (419)
    • ►  Januari (557)
  • ►  2017 (5921)
    • ►  Desember (477)
    • ►  November (567)
    • ►  Oktober (506)
    • ►  September (518)
    • ►  Agustus (555)
    • ►  Juli (535)
    • ►  Juni (465)
    • ►  Mei (471)
    • ►  April (459)
    • ►  Maret (448)
    • ►  Februari (441)
    • ►  Januari (479)
  • ►  2016 (2138)
    • ►  Desember (445)
    • ►  November (509)
    • ►  Oktober (482)
    • ►  September (466)
    • ►  Agustus (236)
Diberdayakan oleh Blogger.
Home » BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE » MIAKA 20 BILA RAIS WA KWANZA WA NCHI MPENDA MICHEZO, NYERERE

MIAKA 20 BILA RAIS WA KWANZA WA NCHI MPENDA MICHEZO, NYERERE

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
KADI namba moja ya uanachama wa klabu ya Yanga SC ya Dar es Salaam, inadaiwa alipewa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambaye leo anatimiza miaka 20 tangu kifo chake, Oktoba 14, mwaka 1999.
Wakati Mwalimu Nyerere anafariki dunia, mimi nilikuwa mwandishi mchanga sana- wakati huo nipo kampuni ya Habari Corporation Limited, chini ya wamiliki wake wa awali akina Jenerali Twaha Ulimwengu.
Nikiwa mwandishi wa gazeti la DIMBA wakati huo, nilipewa jukumu la kwenda Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru ulipowekwa mwili wa marehemu kwa ajili ya kuagwa ili kuandika habari juu ya wanamichezo waliojitokeza kuuaga mwili wa marehemu na kuchukua maoni yao.

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwasabahi wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars miaka ya 1970

Hakika nilijifunza mengi sana kupitia msiba huo kwa kusikia, kuambiwa na kujionea. Miongoni mwa niliyoambiwa ni kwamba, Mwalimu Nyerere ndiye alikuwa ana kadi namba moja ya Yanga SC na kadi namba mbili, alikuwa nayo hayati Abeid Amaan Karume, rais wa zamani wa Zanzibar.
Sijabahatika kuiona ‘leja’ ya Yanga hadi leo tangu nisikie habari hizo, kwa hivyo siwezi kusadiki, lakini kulingana na historia ya klabu ya Yanga katika harakati za ukombozi wa taifa letu, siwezi kupinga hilo.
Nashukuru Mungu nikiwa Mwandishi wa Habari, nimewahi kufanya kazi za kuandika habari katika tukio ambalo Mwalimu Nyerere alikuwepo.
Ilikuwa ni Aprili mwaka 1998 katika mechi ya mpira wa kikapu, iliyoandaliwa maalum kusherehekea kuzaliwa kwake, Mwalimu Nyerere Uwanja wa Ndani wa Taifa, kati ya Pazi na Don Bosco.
Nakumbuka siku hiyo, mtangazaji mwenzangu wa Azam TV, Patrick Nyembele alikuwa bado anacheza mpira wa kikapu na ndiye alikuwa Nahodha wa Pazi ambayo ilishinda na kukabidhiwa na Kombe.
Mechi hiyo iliandaliwa na Chama cha Mpira wa Kikapu Dar es Salaam (DABA), likiwa wazo la aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wake, Fakhrudin Amijee.
Vyama vyote vya michezo vilialikwa kushiriki sherehe hiyo na vilitoa zawadi mbalimbali kwa Mwalimu.
Bendi ya Varda Arts ilikuwepo kutumbuiza na ilimpigia wimbo mzuri Mwalimu wa Happy Birth Day. Rais wa awamu wa nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Ushirikiano wa Kimataifa wakati huo, alikuwepo na ndiye aliyekuwa amekaa meza kuu pamoja na marehemu Nyerere.
Nilifarijika sana siku hiyo kufanya kazi mbele ya baba wa taifa na kwa kuwa pia nimefanya kazi mara kibao mbele ya marais waliomfuatia, Alhaj Ally Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa, Jakaya Mrisho Kikwete na sasa Dk. John Pombe Joseph Magufuli, najivunia sana hayo.
Na kabla ya hapo, Mwalimu Nyerere alihudhuria matukio mengi ya michezo - enzi za utawala wake nchi ilikuwa ina sera nzuri kwa ajili ya michezo zilizosaidia kupatikana vipaji vingi na mafanikio ya kujivunia kwa ushindi wa wanamichezo wake kwenye mashindano makubwa. 
Nilimpenda Mwalimu Nyerere tangu nasoma shule ya msingi pale Mgulani, Dar es Salaam na ninavutiwa sana na sera na misimamo yake enzi za uhai wake.
Tuna kila sababu ya kumlilia Mwalimue Nyerere na kumkumbuka sana leo ikitimia miaka 20 tangu atutoke.  
   
HUYU NDIYE NYERERE
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania. Alizaliwa Butiama, mkoani Mara pembezoni mwa Ziwa Nyanza Aprili, 13, mwaka 1922. Alifariki dunia Oktoba 14, mwaka 1999. Aliiongoza Tanzania tangu mwaka 1961 hadi mwaka 1985.
Yeye ni mwasisi wa itikadi ya ujamaa na kujitegemea. Kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mwalimu. Kazi hii ndiyo ilimpatia jina ambalo lilimkaa maisha yake yote la ‘Mwalimu’.
Mwalimu Nyerere ni kati ya viongozi wachache wa Afrika ambao wameacha madaraka kwa hiyari baada ya kutawala kwa muda mrefu.
Alipostaafu urais mwaka 1985 alirudi kijijini kwake Butiama ambako aliendesha shughuli za kilimo. Aliendelea kuwa na athari kubwa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake.
Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika).
Alikuwa miongoni mwa watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya baba yake na alipofikisha umri wa miaka 12 aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi Musoma.
Baada ya kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya Wamisionari Wakatoliki huko Tabora. Katika umri wa miaka 20 alibatizwa akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake.
Mapadri wakaona akili yake wakamsaidia kusomea Ualimu katika Chuo Kikuu cha Uganda, Makerere kilichopo Kampala, kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.
Akiwa Makerere, Mwalimu akaanzisha tawi la Umoja wa Wanafunzi Watanganyika pia amejihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya St.Mary´s. Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko, Scotland ambako alisoma M.A. ya historia na uchumi, akiweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na Mtanzania wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania.
Aliporejea Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam.
Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika chuo kikuu cha Makerere.
Mwaka 1954 alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko TAA.
Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa kinachoongoza Tanganyika.
Uwezo wa Mwalimu Nyerere uliwashitua viongozi wa kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na mwanasiasa kwa bahati mbaya.
Alijiuzuru ualimu na kuzunguka nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta muungano katika mapigano ya uhuru.
Pia alizungumza kwa niaba ya TANU katika Trusteeship council na Fourth committee ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu. Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo bwana Richard Turnbull ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru.
Nyerere aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa Waziri Mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba 9, 1961 na Nyerere alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika huru na mwaka mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika.
Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah.
Februari 5, mwaka 1977 aliongoza chama cha TANU katika tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa Mwenyekiti wake.
Nyerere aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipomwachia nafasi rais wa pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha CCM hadi 1990 na kuwa na hadhi kubwa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake.
Inasadikika kuwa Nyerere alishawishi uteuzi wa Benjamini W.Mkapa kama mgombea wa rais wa mwaka 1995 na ambaye aliteuliwa kuwa rais kwenye uchaguzi wa mwaka 1995.
Nyerere alikaa muda mwingi kwake Butiama akilima shamba lake. Pamoja na haya alianzisha taasisi yenye jina lake; mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Burundi.

Katikati ni Mwalimu Nyerere akiwa na Katibu wa DABA wa enzi hizo, Jackson Kalikumtima. kulia na aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje, Jakaya Kikwete kushoto, rais wa awamu ya nne ya Jamhiri ya Muungano Tanzania Aprili mwaka 1998 Uwanja wa Ndani wa Taifa 

SIASA ZA UJAMAA NA KUJITEGEMEA…

Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia usukani Ali Hassan Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria.
Katika hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumuaga juu ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.”
Wapo ambao wanamlaumu Mwalimu Nyerere kwa siasa zake za ujamaa kwa madai zilichelewesha maendeleo ya kiuchumi wa Tanzania.
Mwalimu bado anakumbukwa na Watanzania hasa wa hali ya chini kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu na pia ataendelea kukumbukwa na Waafrika kote barani hasa kwa mchango wake mkubwa wakati wa harakati za kupigania uhuru katika nchi mbali mbali barani Afrika.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24.
Mwishoni mwa maisha yake Nyerere aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama, ingawa wakati mwingine alikuwa akija kwenye nyumba yake ya Msasani, Dar es Salaam.
Alipatwa na kansa ya damu (leukemia) na kufariki dunia nchini Uingereza wakati wa kutibiwa katika mji wa London Oktoba 14, 1999. Alizikwa mahali pale alipozaliwa, kijiji cha Butiama.
Ni miaka 20 leo tangu, taifa limpoteze Rais wake wa kwanza mpenda michezo, aliyekuwa ana kadi ya Yanga, Watanzania bado tunamkumbuka na kumlilia kipenzi chetu. Mungu ampumzishe kwa amani daima na milele. Amin.


from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2MerdOX best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm, lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today, mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma, mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer, mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney, mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390, mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Tweet

Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MIAKA 20 BILA RAIS WA KWANZA WA NCHI MPENDA MICHEZO, NYERERE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/10/miaka-20-bila-rais-wa-kwanza-wa-nchi.html. Terimakasih atas perhatiannya.

Related Posts

di 22.46
Label: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE

{ 0 komentar... read them below or add one }


Posting Komentar

Posting Lebih Baru Posting Lama Beranda

Popular Posts

  • TUZO ZA LIGI KUU ZABORESHWA, SASA WACHEZAJI KUPEWA NA KING'AMUZI CHA AZAM TV
    Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB) Boniface Wambura, akionyesha tuzo atakayokuwa akipewa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu ya Vod...
  • Lucky Numbers Promotion: Stand a Chance to Win a Share of R100 000
    Lucky Numbers Promotion: Stand a Chance to Win a Share of R100 000
    Stand a chance to win your share of R100 000 cash! Play R5 or more using your Hollywoodbets account on the selected Lucky Numbers draws an...
  • Winning Form Promotion - Jockey Trainer Combo
    Winning Form Promotion - Jockey Trainer Combo
    You could win a R200 Hollywoodbets betting voucher. Simply comment on the competition post who is your favourite jockey, trainer combo of ...
  • AZAM FC WANAVYOJIFUA VIKALI KUJIANDAA NA MCHEZO WAO WA KWANZA WA LIGI KUU DHIDI YA POLISI TANZANIA JUMATATU CHAMAZI
    AZAM FC WANAVYOJIFUA VIKALI KUJIANDAA NA MCHEZO WAO WA KWANZA WA LIGI KUU DHIDI YA POLISI TANZANIA JUMATATU CHAMAZI
    Kiungo wa Azam FC, Mzimbabwe Never Tigere (kulia) akimiliki mpira pembeni ya beki Mgahana wa Azam FC, Yakubu Mohamed kwenye mazoezi ya tim...
  • SIMBA SC INAVYOJIANDAA KUIKABILI POWER DYNAMOS NDOLA
    SIMBA SC INAVYOJIANDAA KUIKABILI POWER DYNAMOS NDOLA
    VIUNGO, Muivory Coast Aubin Kramo Kouamé (kushoto) na José Luis Miquissone wa Msumbiji wakiwa kwenye mazoezi ya Simba leo Uwanja wa Mo Si...
  • Withdrawal Options - Cash Send to Cellphone
    Withdrawal Options - Cash Send to Cellphone
    Did you know besides EFT, Hollywoodbets offers you four different "Cash Send to Cellphone" options for withdrawing from your Holl...
  • Lucky Numbers Draw Times & Results
    Lucky Numbers Draw Times & Results
    All the information you need for the 501 Lotto draws offered by Hollywoodbets for Lucky Numbers and Powa Numbas betting! Get closing times...
  • PSG WATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA BAADA YA KUITANDIKA REAL MADRID 4-0
    PSG WATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA BAADA YA KUITANDIKA REAL MADRID 4-0
    TIMU ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa imeendelea kudhihirisha umwamba wake kwa wapinzani wake wa Ulaya baada ya usiku wa Jumatano kufan...
  • Bafana held by Nigeria in AFCON Qualifier
    Bafana held by Nigeria in AFCON Qualifier
    Bafana Bafana moved one step closer to the 2019 Africa Cup of Nations with a point in their 1-1 draw with Nigeria at the FNB Stadium on Sa...
  • Kenilworth Best Bets - Saturday 7 April 2018
    Kenilworth Best Bets - Saturday 7 April 2018
    Winning Form brings you their best tips for Kenilworth's racing on Saturday the 7th of April 2018. Tips provided by Winning Form, a...
Copyright Viral Sports: MIAKA 20 BILA RAIS WA KWANZA WA NCHI MPENDA MICHEZO, NYERERE