TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Mabao ya JKT Tanzania yamefungwa na viungo Ally Hussein Msengi dakika ya 32 na Najim Magulu dakika ya 75, wakati la Tabora United limefungwa na winga Offen Francis Chikola dakika ya 64.
Kwa ushindi huo, JKT Tanzania inafikisha pointi 30 na kurejea nafasi ya sita, ikizidiwa pointi saba na Tabora United wanaobaki nafasi ya tano baada ya wote kucheza mechi 23.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/KHNc2yb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang JKT TANZANIA YAWAPIGA TABORA UNITED 2-1 PALE PALE MWINYI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/03/jkt-tanzania-yawapiga-tabora-united-2-1.html. Terimakasih atas perhatiannya.