TIMU ya taifa ya soka ya Tanzania usiku wa kuamkia leo imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Morocco katika mchezo wa Kundi E kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 zinazoandaliwa kwa pamoja na Marekani, Canada na Mexico.
Mabao ya Simba wa Atlasi yaliyoizamisha Taifa Stars yamefumgwa na beki wa Real Sociedad, Nayef Aguerd dakika ya 51' na kiungo wa Real Madrid, Brahim Díaz kwa Penalti dakika ya 58 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Oujda.
Kwa matokeo hayo, Morocco inafikisha pointi 15 katika mchezo wa tano, ikiendelea kuongoza Kundi E, wakati Tanzania inabaki nafasi ya tatu kwa pointi zake sita ikizidiwa tu wastani wa mabao na Niger baada ya wote kucheza mechi nne.
Timu nyingine kwenye Kundi hilo, Zambia inashika mkia kwa pointi zake Tatu za mechi nne pia.
Timu nyingine mbili zilizopangwa katika Kundi hilo, Eritrea ilijitoa na Kongo - Brazzaville imeenguliwa baada ya kufungiwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) ikiwa tayari imecheza mechi tatu na kufungwa zote.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/arn4mYp
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TAIFA STARS YACHAPWA 2-0 NA MOROCCO KIFUZU KOMBE LA DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/03/taifa-stars-yachapwa-2-0-na-morocco.html. Terimakasih atas perhatiannya.