TIMU ya Fountain Gate imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Fountain Gate yamefungwa na kiungo Mrundi mzaliwa wa Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Elie Mokono dakika ya 77 na 90’+4, wakati la KMC limefungwa na Oscar Paul kwa penalti dakika ya 45.
Kwa ushindi huo, Fountain Gate wanafikisha pointi 28 na kupanda kwa nafasi mbili hadi ya sita, wakati KMC wanabaki na pointi zao 24 nafasi ya 11 baada ya wote kucheza mechi 23.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/YC9yXUQ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms