KOCHA Hemed Suleiman ‘Morocco’ amemrejesha kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars mshambuliaji Kelvin Pius John wa Aalborg BK ya Denmark kwa ajili ya mchezo dhidi ya wenyeji Morocco Machi 25 Uwanja wa Honor mjini Oujda.
Kuelekea mchezo huo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2026 zinazoandaliwa kwa pamoja na Marekani, Canada na Mexico — Kocha Morocco hajamjumuisha Nahodha, Mbwana Ally Samatta wa PAOK ya Ugiriki kwa sababu ni majeruhi.
Lakini pia hajawaita makipa wazoefu Aishi Salum Manula wa Simba SC na Metacha Boniphace Mnata wa Singida Black Stars ambao wamepoteza nafasi kwenye klabu zao.
Badala yake amewateua Yakoub Suleiman wa JKT Tanzania, Hussein Masaranga wa Singida Black Stars na Ally Salim wa Simba SC, huku pia
akiendelea kumfumbia macho beki na Nahodha wa Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto.
Hajamuita pia mfungaji wa bao la Taifa Stars kwenye ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Zambia, Waziri Junior Shentembo anayechezea Al-Minaa ya Iraq kwa sasa.
Katika mechi zake tatu za awali, Taifa Stars imeshinda mbili zote ugenini dhidi ya Niger Novemba 18, mwaka 2023 na Zambia Juni 11 mwaka jana — wakati mchezo mwingine ilifungwa nyumbani 2-0 na Morocco Novemba 21 mwaka 2023.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/vD21LFQ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TAIFA STARS KUIVAA MOROCCO BILA SAMATTA NI MAJERUHI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/03/taifa-stars-kuivaa-morocco-bila-samatta.html. Terimakasih atas perhatiannya.