TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Imekuwa siku nzuri kwa mshambuliaji wa Kimataifa wa Uganda, Steven Dese Mukwala aliyefunga mabao yote matatu ya Wekundu wa Msimbazi leo, dakika za 30, 45’+2 na 56.
Kwa ushindi huo, Simba inafikisha pointi 54 katika mchezo wa 22, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa pointi nne na mabingwa watetezi, Yanga ambao pia wamecheza mechi moja zaidi.
Kwa upande wao Coastal Union baada ya kipigo hicho wanabaki na pointi zao 24 za mechi 22 sasa nafasi ya tisa katika ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/Teryb2K
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms