Na Salma Suleiman, SINGIDA
KOCHA Msaidizi wa Yanga SC, Nsajigwa Shadrack Joel Mwandemele amesema kwamba hali ya hewa ya Singida iliwakosesha ushindi jana.
Yanga ililazimishwa sare ya bila mabao na wenyeji, Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Namfua mjini Singida jana.
Na baada ya mchezo huo, Kocha Msaidizi wa Yanga, Nsajigwa ambaye ni beki na Nahodha wa zamani wa klabu hiyo alisema upepo mkali wa Singida jana uliwakosesha ushindi.
Kocha Msaidizi wa Yanga SC, Nsajigwa Shadrack (kushoto) akiwa na bosi wake, Mzambia George Lwandamina (kulia)
“Tulihitaji ushindi, lakini matarajio yetu yameenda tofauti, kipindi cha kwanza Singida walitusumbua sana, lakini baadaye tuliweza kwenda nao sawa. Vilevile hali ya hewa ya upepo ilichangia kwa kiasi fulani, kwani mipira ilikuwa inakwenda tofauti na ulivyokuwa inapigwa,”alisema.
Sare hiyo ya pili mfululizo baada ya Jumamosi iliyopita pia kutoka 1-1 na mahasimu wao wa jadi, Simba inaifanya Yanga ifikishe pointi 17 baada ya kucheza mechi tisa, wakati Singida inafikisha pointi 14 baada ya mechi tisa pia.
Na baada ya Azam FC kushinda 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting jana, inapanda kileleni kutokana na kufikisha pointi 19, ingawa leo inaweza kuteremka nayo iwapo Simba itashinda.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hGZc2Q
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA WALIA NA HALI HEWA SINGIDA ILIWAKOSESHA USHINDI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/11/yanga-walia-na-hali-hewa-singida.html. Terimakasih atas perhatiannya.