Na Salma Suleiman, SINGIDA
KOCHA Mkuu wa Singida United, Mholanzi Hans van der Pluijm amesema timu yake sasa inacheza Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara katika Uwanja mzuri wa Namfua na hiyo itakuwa chachu ya kupata matokeo mazuri.
Pluijm aliyasema hayo baada ya sare ya 0-0 dhidi ya timu yake ya zamani, Yanga SC katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu kufanyika Uwanja wa Namfua mkoani Singida msimu huu.
Mholanzi huyo alisema Uwanja wa Namfua ni mzuri kuliko wa Jamhuri mkoani Dodoma ambao walikuwa wanautumia kwa mechi zao zilizotangulia za nyumbani za Ligi Kuu.
 |
Hans van der Pluijm (kushoto) akizungumza na mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa jana Singida |
“Uwanja wa Namfua umekuwa mzuri zaidi baada ya marekebisho ukilinganisha na wa Jamhuri Dodoma tuliokuwa tunautumia mwanzo,”alisema.
Akizungumzia kushindwa kupata ushindi jana wakicheza nyumbani kwa mara ya kwanza tangu wapande Ligi Kuu msimu huu, Pluijm alisema kwamba mechi ilikuwa ngumu na kila timu ilipambana kuhakikisha inashinda.
“Kucheza na timu kubwa kama Yanga kunakuwa na changamoto nyingi. Nia yetu ilikuwa kubuka na ushindi katika mchezo huo, lakini bahati haikuwa yetu, wachezaji wetu walicheza vizuri, lakini safu ya kiungo ya Yanga ilikuwa makini na kutibua mipango yetu,”alisema.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2AbFAui
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang PLUIJM AUSIFU UWANJA WA NAMFUA ASEMA NI ZAIDI YA JAMHURI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/11/pluijm-ausifu-uwanja-wa-namfua-asema-ni.html. Terimakasih atas perhatiannya.