Na Mwandishi Wetu, ZANZIBAR
CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) kimemsimamisha refa Mfaume Ali Nassor (pichani kushoto) kwa muda kupisha uchunguzi dhidi yake juu ya tuhuma za rushwa.
Mfaume, kwa pamoja na marefa wengine watatu wa Tanzania Bara, Frank Komba, Israel Mujuni Nkongo na Sudi Lila wanachunguzwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwa tuhuma za upangaji matokeo.
Timu hiyo ya marefa wa Tanzania ilichezesha mchezo wa Ligi ya Mabingwa kati ya Lydia Ludic Burundi Academic ya Burundi na Rayon Sports ya Rwanda kati ya Februari 21, mwaka huu mjini Bujumbura.
Inadaiwa kabla ya mchezo huo ambao Kamisaa alikuwa Gladmore Muzambi wa Zimbabwe, viongozi wa Rayon walikwenda hoteli kukutana na marefa hao wa Tanzania.
Inadaiwa ushahidi wa picha za kamera CCTV unamuonyesha Ofisa w Rayon akiingia kwenye chumba cha refa wa akina, Nkongo ambaye naye kwa sasa pamoja na wenzake wanachunguzwa na CAF.
Bado Shirikisho la Soka Tanzania (CAF) halijatoa tamko lolote kuhusu marefa wake wanaochunguzwa, zaidi ya tamko tu kwmaba wamepokea taarifa hiyo na wanaacha uchunguzi uendelee.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2Ggrdt4
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms