Sentahafu Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid pwa penalti dakika ya 44 jana usiku katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme Uwanja wa Santiago Bernabéu. Bao hilo linamfanya Ramos afikishe mabao 80 jumla Real Madrid na ukijumlisha na 17 aliyoifungia timu ya taifa ya Hispania na matatu klabu yake ya zamani, Sevilla anafikisha jumla ya mabao 100 ya kufunga hivyo kuwa beki wa kipekee katika ufungaji.
Mabao mengine ya Real Madrid jana yalifungwa na Lucas Vázquez dakika ya 68 na Vinicius Junior dakika ya 77 na timu hizo zitarudiana Januari 16 Uwanja wa Manispaa ya Butarque mjini Leganés PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2SLL3Sl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang RAMOS AFIKISHA MABAO 100 REAL MADRID IKISHINDA 3-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/01/ramos-afikisha-mabao-100-real-madrid.html. Terimakasih atas perhatiannya.