Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford (katikati) akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 90 na ushei kwa penalti kufuatia Presnel Kimpembe kuunawa mpira katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Paris Saint-Germain usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Mabao mengine yalifungwa na mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku dakika ya pili na 30, wakati la PSG lilifungwa na beki Mspaniola, Juan Bernat dakika ya 12 na kwa matokeo hayo Manchester United inakwenda Robo Fainali kwa faida ya mabao ya ugenini baada ya sare ya jumla ya 3-3 kufuatia kufungwa 2-0 nyumbani kwenye mchezo wa kwanza mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2UsX9Rq
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms