Na Mwandishi Wetu, ANTALYA
TIMU ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys imeanza vibaya michuano ya UEFA Assist U-17 baada ya kuchapwa 1-0 na Guinea katika mchezo uliofanyika mjini Antalya, Uturuki leo.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Emirhan Sports Complex mjini Antalya nchin Uturuki, bao pekee la Guinea lililoizamisha Tanzania inayofundishwa na Kocha Oscar Milambo limefungwa na mshambuliaji Abubakar Konte dakika ya 26.
Mechi hiyo ilichezwa kwenye baridi huku barafu zikidondoka, hali ambayo dhahiri ilionekana kuwaathiri wachezaji wa Tanzania.
Mshambuliaji Kelvin John wa Serengeti Boys akipambana na wachezaji wa Guinealeo mjini Antalya
Wachezaji wa Tanzania na Guinea wakiwania mpira wa juu leo mjini Antalya
Tanzania imepangwa Kundi A pamoja na Guinea, Australia na wenyeji, Uturuki, wakati Kundi B linaundwa na timu za Cameroon, Uganda, Morocco na Belarus na Kundi C lina timu za Senegal, Nigeria, Angola na Montenegro.
Tanzania inatumia michuano hiyo kama maandalizi yake ya mwisho ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) ambayo wao watakuwa wenyeji kuanzia Aprili 14 hadi 28 mjini Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Hfr3Vw
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms