Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC wamefanikiwa kumsajili kiungo mshambuliaji, Abalkassim Suleiman Khamis aliyewika Kagera Sugar ya Bukoba msimu uliopita wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Taarifa ya Azam FC leo imesema kwamba amesaini mkataba wa miaka miwili na anakuwa mchezaji wa nne mpya kusajiliwa na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao, baada ya Idd Suleiman 'Nado' na Warundi Emmanuel Mvuyekure na Seleman Ndikumana.
Nyota huyo alikuwa kwenye kiwango bora msimu uliopita, wakati akiichezea Kagera Sugar, jambo ambalo limemfanya Kocha Mkuu wa Azam FC, Etienne Ndayiragije, kumhitaji katika kikosi chake.
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' akimkabidhi jezi Abalkassim Suleiman Khamis baada ya kusaini
Taarifa ya Azam FC leo imesema kwamba amesaini mkataba wa miaka miwili
Kikosi cha Azam FC kwa sasa kipo nchini Rwanda, kikiwa kinajiandaa kutetea taji lake la Kombe la Kagame, iliyolitwaa mara mbili mfululizo, michuano inayotarajia kuanza kutimua vumbi kuanzia Julai 6-21 mwaka huu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2NvhYwd
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms