Na Mwandishi Wetu, KIGALI
MABINGWA watetezi, Azam FC watamenyana na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame.
Huo utakuwa mchezo wa kwanza kabis awa Robo Fainali, ambao utafanyika Jumanne Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali, ambao utafuatiwa na mchezo kati ya KCCA ya Uganda na wenyeji, Rayon Sports.
Robo Fainali nyingine zitafuatia Jumatano, wenyeji wengine APR wakimenyana na Manyema Union, kabla ya Gor Mahia ya Kenya kuumana na Green Eagles ya Zambia.
Hiyo ni baada ya leo hatua ya makundi ya michuano hiyo kuhitimishwa kwa mechi za Kundi D, Gor Mahia wakiifunga 1-0 KMKM ya Zanzibar na Manyema Union ya DRC ikiifunga Port ya Djibouti 2-1 uwanja wa Umuganda mjini Gisenyi.
Kwa matokeo hayo, Gor Mahia imeongoza Kundi D kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na Manyema Union ya DRC yenye pointi sita sawa, Port pointi tatu, wakati KMKM imeshika mkia ikiwa haina pointi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/32rzsNK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms