Na Mwandishi Wetu, CAIRO
MCHEZO wa kirafiki baina ya Yanga SC na Pan Africans umeshindwa kufanyika kutokana na maji kujaa Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam jioni ya leo baada ya mvua iliyonyeshea kutwa kuanzia mchana.
Yanga SC ilitaka kuutumia mchezo huo kama sehemu ya maandalizi ya mchezo wake dhidi ya Pyramids FC ya Misri wiki ijayo mjini Mwanza.
Sasa Yanga watakuwa na mchezo mmoja tu zaidi kabla ya kuwavaa Pyramids FC ambao ni wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mbao FC Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza Jumanne ya wiki ijayo.
Na ni hapo hapo Kirumba Yanga watakuwa wenyeji wa Pyramids FC Jumapili ya Oktoba 27, mwaka huu katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Bado Pyramids FC hawajataja rasmi Uwanja utakaotumika kwa mchezo wa marudiano Novemba 3, mwaka huu ingawa inafahamika wamekuwa wakitumia Uwanja wa Jeshi la Anga wa Juni 30 mjini Cairo kwa mechi zao za nyumbani.
Yanga imeangukia katika mchujo baada ya kutolewa na Zesco United ya Zambia kwa jumla ya mabao 2-1 kufuatia sare ya 1-1 Dar es Salaam kabla ya kwenda kufungwa 2-1 Ndola.
Katika Raundi ya kwanza, Yanga iliitoa Township Rollers ya Botswana kwa mabao 2-1, ikishinda 1-0 Gaborone baada ya sare ya 1-1 Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2nQ9CTX
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms