Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
AFISA Mtendaji wa Bodi ya Ligi (TPLB) Boniface Wambura amemaliza mkataba wake wa kuitumikia nafasi hiyo na sasa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Habari na Masoko wa TFF akisaidiwa na Cliford Ndimbo atakayehusika na habari pamoja na Aron Nyanda atakayeshughulika na masoko.
Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidao amesema nafasi ya CEO wa Bodi ya Ligi iliyokuwa ikishikiliwa na Wambura itatangazwa baadaye.
Kidao pia amesema Kamati ya Utendaji ya TFF imemthibitisha Oscar Mirambo kuwa Mkurugenzi wa ufundi. Awali Mirambo alikuwa akiikaimu nafasi hiyo.
Aidha, Kidao ameweka wazi mabadiliko ya Katiba ya shirikisho hilo ambayo kwa kiasi kikubwa yanahusu mfumo wa uongozi kuelekea uchaguzi ujao.
Moja kati ya mambo yaliyoguswa ni nafasi ya Makamu wa Rais ambapo kuanzia sasa hatachaguliwa kwa kupigiwa kura bali atakuwa akiteuliwa na Rais.
Mabadiliko mengine yamegusa idadi ya wajumbe wa kamati ya utendaji ambayo sasa itapungua kutoka 22 hadi 13, huku kanda nazo zikipunguzwa kutoka 13 hadi 6.
Vilevile katika mabadiliko hayo wajumbe wa mkutano mkuu watapungua kutoka 129 hadi 87, ikimaanisha kuwa kila mkoa katika mikoa 26 ya Tanzania Bara utatoa wajumbe wawili, wajumbe 20 watatoka kwenye vilabu huku vyama washirika wakitoa wajumbe 15.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2MPUajn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms