TIMU ya Algeria imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Jordan katika mchezo wa Kundi J Fainali za Kombe la Dunia Asubuhi ya leo Uwanja wa Levi's, Santa Clara, California, Marekani.
Mabao ya Algeria yamefungwa na washambuliaji Ahmed Nadhir Benbouali wa Győr ya Hungary dakika ya 69 na Amine Ferid Gouiri wa Marseille ya Ufaransa alikozaliwa dakika ya 82.
Algeria ilipata mabao yakr baada ya kutanguliwa na Jordan ambao bao lao hilo pekee alifunga kiungo wa ulinzi wa Qatar SC ya Qatar, Nizar Mahmoud Ahmed Al-Rashdan dakika ya 36.
Kwa ushindi huo, Algeria inafikisha pointi tatu, ingawa inabaki nafasi ya tatu ikizidiwa tu wastani wa mabao na Austria na wote wapo nyuma ya vinara, Argentina wenye pointi sita, wakati Jordan inashika mkia ikiwa haina na pointi baada ya mechi mbili za mwanzo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/9jlm0NI
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms