WENYEJI, Mexico wameanza vyema Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya ushindi wa mabao 2–0 dhidi ya Afrika Kusini katika mchezo wa Kundi A usiku wa kuamkia jana Uwanja wa Azteca Jijini Mexico City.
Katika mchezo huo uliohudhuriwa na mashabiki 80,824, mabao ya Mexico inayoandaa Fainali hizo kwa ushirikiano na majirani zake Canada na Marekani yalifungwa na winga wa Al-Qadsiah ya Saudi Arabia na Julián Andrés Quiñones Quiñones dakika ya tisa na mshambuliaji wa Wolverhampton Wanderers ya England, Raúl Alonso Jiménez Rodríguez dakika ya 67.
Mechi nyingine ya kundi hilo itafuatia leo kuanzia Saa 11:00 jioni kati ya Korea Kusini na Jamhuri ya Czech Uwanja wa Akron Jijini Zapopan.
Wenyeji wengine, Canada watashuka Uwanja wa BMO Field Jijini Toronto kucheza mechi yao ya kwnza ya Kundi B dhidi ya Bosnia na Herzegovina kuanzia saa 4:00 usiku – wakati wenyeji wengine Marekani wao watatupa kete yao ya kwanza Kundi D kesho Saa 4:00 usiku watakapomenyana na Paraguay Uwanja wa SoFi Jijini Inglewood, Los Angeles County, California.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/LW8GypA
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms