TIMU ya Norway imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Iraq katika mchezo wa Kundi I Fainali za Kombe la Dunia usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Gillette, Foxborough, Norfolk County, Massachusetts, Marekani.
Mabao ya Norway yamefungwa na mshambuliaji wa Manchester City, Erling Braut Haaland mawili, dakika ya 29 na 43, beki wa kati wa Genoa ya Italia, Leo Skiri Ostigarddakika ya 76 na mshambuliaji wa Al-Karma ya kwao, Aymen Hussein Ghadhban Al-Mafraje aliyejifunga dakika ya 90’+6 baada ya kuifungia timu yake, Iraq bao la kufutia machozi dakika ya 39.
Ikumbukwe mchezo wa kwanza wa kundi hilo, Ufaransa ilianza vyema kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Senegal usiku wa jana Uwanja wa MetLife, East Rutherford, New Jersey, New York City, Marekani.
Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappé Lottin mwenye asili ya Cameroon amefunga mabao mawili dakika ya 66 na 90’+6 huku bao lingine la Les Bleus likifungwa na mshambuliaji wa Paris Saint-Germain ya nyumbani, Paris – Bradley Jean-Manuel Essolisam Addo Barcola mwenye asili ya Togo dakika ya 82.
Bao pekee la Senegal lilifungwa na mshambuliaji mwingine wa Paris Saint-Germain, Ibrahim Mbaye mzaliwa wa Ufaransa na ambaye awali alichezea timu za taifa za vijana nchi hiyo ya Ulaya dakika ya 90’+5.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/QvX2Ozg
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang HAALAND APIGA MBILI NORWAY YAICHAPA IRAQ 4-1 KOMBE LA DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/06/haaland-apiga-mbili-norway-yaichapa.html. Terimakasih atas perhatiannya.