TIMU ya Paraguay imefanikiwa kwenda Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Dunia baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Gillette mjini Foxborough, Norfolk County, Massachusetts, Marekani.
Kiungo mshambuliaji wa RC Strasbourg ya Ufaransa, Julio Cesar Enciso Espínola alianza kuifungia Paraguay dakika ya 42, kabla ya mshambuliaji Kai Lukas Havertz wa mabingwa wa England, Arsenal kuisawazishia Ujerumani dakika ya 54.
Kwenye mikwaju ya penalti walioifungia Paraguay ni Maurício, G. Gómez, Galarza na Canale huku Sanabria na Balbuena pekee wakikosa, wakati kwa upande wa Ujerumani waliofunga ni Kimmich, Musiala na Amiri huku Havertz, Woltemade na Tah wakikosa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/Hz2TaMv
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang PARAGUAY YAITUPA NJE UJERUMANI KWA MATUTA KOMBE LA DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/06/paraguay-yaitupa-nje-ujerumani-kwa.html. Terimakasih atas perhatiannya.