SHIRIKISHO la Soka Zambia limemteua Mtanzania Sunday Burton Kayuni (70) kuwa Mkurugenzi wake mpya wa Ufundi akichukua nafasi ya mzawa, Lyson Zulu aliyedumu tangu Machi 2019.
Zulu aliondoka FAZ mapema mwaka huu baada ya kuteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuwa Mtaalamu wa Utendaji Bora wa Mpango wa Maendeleo ya Kiufundi (TDS) kwa Afrika Januari mwaka huu.
Kayuni (pichani kulia) ambaye ni Mkufunzi Mkubwa wa FIFA - ni Mtaalamu mwenye heshima kubwa Zambia na Afrika kwa ujumla kutokana na
Uzoefu wake na rekodi ya kuvutia ya kuwafundisha makocha kadhaa wa Zambia, akiwemo George Lwandamina, ambaye kwa sasa anaiongoza timu ya taifa.
Licha ya kufundisha klabu mbalimbali Tanzania na kwa mafanikio wakiwemo mabingwa wa kihistoria nchini na timu ya taifa – Kayuni pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Ufundi na Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/XD0sERG
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SUNDAY KAYUNI ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA UFUNDI ZAMBIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/06/sunday-kayuni-ateuliwa-kuwa-mkurugenzi.html. Terimakasih atas perhatiannya.