TIMU ya Argentina imeendeleza wimbi la ushindi katika Fainali za Kombe la Dunia baada ya kuichapa Austria mabao 2-0 katika mchezo wa Kundi J usiku huu Uwanja wa AT&T, Arlington, Texas, Marekani.
Ilikuwa siku nyingine nzuri kwa mshambuliaji wa Inter Miami ya Marekani, Lionel Andrés Messi ambaye keshokutwa anatimiza umri wa miaka 39 aliyefunga mabao yote mawili dakika ya 38 na 90’+5, ingawa pia alikosa penalti dakika ya tisa.
Messi sasa amefikisha mabao 18 aliyofunga kwenye Fainali za Kombe la Dunia na sasa anaongoza kwenye historia ya wafungaji Bora wa muda wote, akimpita gwiji wa Ujerumani, Miroslav Klose anayebaki na mabao yake 16.
Kwa ushindi huo, Argentina inafikisha pointi sita na kuendelea kuongoza Kundi J ikifuatiwa na Austria yenye pointi tatu na Jordan na Algeria zitakazomenyana kesho Asubuhi Uwanja wa Levi's, Santa Clara, California, Marekani, ambazo zote hazina pointi baada ya kupoteza mechi zao za kwanza.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/Qdpv0yu
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms