UJERUMANI imetoka nyuma na kushinda mabao 2–1 dhidi ya Ivory Coast katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia usiku wa kuamkia leo Uwanja wa BMO Field Jijini Toronto nchini Canada.
Mabao yote ya Ujerumani yamefungwa na mshambuliaji wa VfB Stuttgart ya kwao, Deniz Undav mwenye asili ya Uturuki dakika ya 68 na 90’+4 baada ya kiungo Franck Yannick Kessié wa Al-Ahli ya Saudi Arabia kuanza kuifungia Ivory Coast dakika ya 30.
Mchezo mwingine wa Kundi F nana ya Ecuador na Curaçao unaendelea hivi Sasa Uwanja wa Arrowhead, Kansas City, Missouri, Marekani.
Kwa ushindi huo, Ujerumani inapanda kileleni ikifikisha pointi sita ikiizidi pointi tatu Ivory Coast baada ya timu hizo zote kucheza mechi mbili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/piB4SIr
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang UJERUMANI YATOKA NYUMA NA KUICHAPA IVORY COAST 2-1. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/06/ujerumani-yatoka-nyuma-na-kuichapa.html. Terimakasih atas perhatiannya.