TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
Mabao ya Simba SC yamefungwa na kiungo Muivory Coast, Jean Charles Ahoua mawili yote kwa penalti dakika ya 45 na 71, wakati lingine amefunga mshambuliaji Mganda, Steven Dese Mukwala dakika ya 90’+1.
Simba ingeweza kuondoka na ushindi mnono zaidi kama si mshambuliaji Mcameroon Christian Leonel Ateba Mbida kukosa penalti nyingine dakika ya 52.
Namungo FC ilimaliza pungufu mchezo huo baada ya beki wake Derick Mukomnozi kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 33.
Kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 50 katika mchezo w 19, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa pointi mbili na mabingwa watetezi, Yanga ambao pia wamecheza mechi moja zaidi.
Kwa upande wao Namungo FC baada ya kupoteza mchezo huo wanabaki na pointi zao 21 za mechi 20 nafasi y 13 kwenye Ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/foVpWXj
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms