
TIMU ya Simba SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Chachu ya ushindi wa leo ni winga Mkongo, Elie Mpanzu Kibisawala aliyesaidia upatikanaji wa mabao yote, mawili yakifungwa na mshambuliaji Mcameroon, Leonel Christian Ateba Mbida na lingine beki, Shomari Salum Kapombe.
Bao la kwanza Ateba alipokea pasi ya Mpanzu na kufunga dakika ya 12 na la pili akafunga kwa penalti dakika ya 34 kufuatia Mkongo huyo kuangushwa na beki Mkongo-Brazzaville, Faria Jobel Ondongo.
Bao la tatu Ateba alipokea pasi ya Mpanzu tena akiwa kwenye nafasi ya kufunga, lakini akamsetia Kapombe aliyekuwa anatokea nyuma na kufumua shuti lililotinga nyavuni.
Kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 43 na kurejea kileleni ikiwazidi pointi moja mabingwa watetezi, Yanga baada ya wote kucheza mechi 16.
Tabora United kwa upande wao wanabaki na pointi zao 25 za mechi 16 pia nafasi ya tano.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/8Z2tXEM
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ATEBA APIGA MBILI SIMBA SC YAITANDIKA TABORA UNITED 3-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/ateba-apiga-mbili-simba-sc-yaitandika.html. Terimakasih atas perhatiannya.