WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na kiungo Zidane Sereri dakika ya 72 na beki kutoka Mali, Yoro Mamadou Diaby dakika ya 82.
Kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha pointi 42 katika mchezo wa 19, ingawa inabaki nafasi ya tatu nyuma ya Simba SC yenye pointi 47 za mechi 18 na mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 49 za mechi 19.
Kwa upande wao Mashujaa baada ya kupoteza mchezo wa leo wanabaki nafasi ya 10 na pointi zao 20 za mechi 19 pia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/miUCkXw
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAICHAPA MASHUJAA MABAO 2-0 CHAMAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/azam-fc-yaichapa-mashujaa-mabao-2-0.html. Terimakasih atas perhatiannya.