WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Meja Jenerali Charles Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam.
JKT Tanzania walianza kupata bao, mfungaji Edward Songo kwa penalti dakika ya 45’+6, kabla ya mshambuliaji Suleiman Salim Rashid 'Bwenzi' kuisawazishia Kengold dakika ya 85.
Kwa matokeo hayo, JKT Tanzania inafikisha pointi 27, ingawa inabaki nafasi ya sita — na Kengold inafikisha pointi 15, nayo inabaki mkiani kwenye ligi ya timu 16 baada ya wote kucheza mechi 22.
Ikumbukwe mwisho wa msimu timu mbili zitashuka Daraja na mbili nyingine zitakazomaliza nafasi y 14 na 13 zitamenyana baina yao na mshindi wa jumla atasalia Ligi Kuu, wakati timu itakayofungwa itakwenda kumenyana na timu ya Championship kujaribu tena kubaki Ligi Kuu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/FsXy2bK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang JKT TANZANIA YATOA SARE NA KENGOLD, 1-1 MBWENI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/jkt-tanzania-yatoa-sare-na-kengold-1-1.html. Terimakasih atas perhatiannya.