WENYEJI, Pamba Jiji wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Bao lililowazamisha Azam FC leo limefungwa na kiungo mkongwe, Deus David Kaseke dakika ya 86, akigusa mpira wa kwanza baada tu ya kuingia kutokea benchi kuchukua nafasi ya kiungo Mrundi, Shassir Nahimana.
Ushindi huo wa pili mfululizo wakitoka kushinda ugenini dhidi ya Dodoma Jiji 1-0 pia — unaifanya Pamba Jiji FC ifikishe pointi 18 katika mchezo wa 18 na kupanda kwa nafasi mbili hadi ya 12, wakati Azam FC inabaki na pointi zake 39 za mechi 18 pia nafasi ya tatu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/DIcVyAn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KASEKE AFUNGA DAKIKA ZA JIONI PAMBA YAILAZA AZAM FC 1-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/kaseke-afunga-dakika-za-jioni-pamba.html. Terimakasih atas perhatiannya.