MABINGWA watetezi, Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa KMC Complex, Mwenge Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga yamefungwa na washambuliaji tegemeo, mzawa Clement Francis Mzize dakika ya 14 na Mzimbabwe, Prince Dube Mpumeleo dakika ya 43, wakati bao la Singida Black Stars limefungwa na mshambuliaji Mghana, Jonathan Sowah dakika ya 90’+2.
Kwa ushindi huo, Yanga inafikisha pointi 52 katika mchezo wa 20 na kuendela kuongoza Ligi Kuu kwa pointi tano Zaidi ya watani wao, Simba SC ambao pia wana mechi mbili mkononi, wakati Singida Black Stars wanabaki na pointi zao 37 za mechi 20, nyuma ya Azam FC yenye pointi 42 za mechi 19.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/o6hbAun
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms