KOCHA mpya wa Yanga, Miloud Hamdi (53), Mualgeria mwenye uraia wa Ufaransa ana uzoefu wa kufundisha soka tangu mwaka 2004 alipoanza na timu ya vijana nchini Ufaransa, ES Vitrolles, kabla ya kuhamia GS Consolat mwaka 2009 hadi 2012 .
Baada ya hapo akaenda Ettifaq U21 ya Saudi Arabia hadi mwaka 2015
USM Alger akaajiriwa kama Kocha Msaidizi wa USM Alger ya Algeria, kabla ya kupewa Ukocha Mkuu mwaka 2016.
Baadaye mwaka 2016 akaenda Nahdat Berkane ya Morocco, kabla ya kurejea USM Alger mwaka 2017 hadi 2018 akaenda Al-Salmiya SC ya Kuwaiti, kabla ya kurejea Algeria mwaka 2021 kufundisha CS Constantine hadi 2022 alipohamia JS Kabylie hadi mwaka jana.
Anajiunga na Wananchi kuchukua nafasi ya Siad Ramovic mwenye uraia wa Ujerumani aliyeondoka ghafla jana.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/19AwEVe
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms