WENYEJI, Pamba Jiji FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Mabao ya Pamba Jiji leo yamefungwa na kiungo John Ben Nakibinge dakika ya 18 na mshambuliaji Mguinea, Abdoulaye Yonta Camara dakika ya 21.
Kwa ushindi huo, Pamba Jiji wanafikisha pointi 21 na kupanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya nane ikizizidi tu wastani wa mabao Namungo FC na Fountain Gate baada ya wote kucheza mechi 19.
Kwa upande wao Coastal Union baada ya kupoteza mchezo huo wanabaki na pointi zao 22 za mechi 19 pia wakibaki katika nafasi ya tisa, wakiizidi wastani wa mabao tu KMC ambayo nayo ina mechi 19 za kucheza.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/kLHl8Ft
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms