BAO pekee la mshambuliaji Mghana, Jonathan Sowah dakika ya 51 limeipa Singida Black Stars ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Meja Jenerali Charles Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam.
Kwa ushindi huo, Singida Black Stars inafikisha pointi 37 katika mchezo wa 19, ingawa inabaki nafasi ya nne ikizidiwa pointi mbili na Azam FC ambayo pia ina mechi moja mkononi.
Kwa upande wao JKT Tanzania baada ya kichapo cha leo wanabaki na pointi zao 20 za mechi 19 pia nafasi ya 10.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/kSX8fPO
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 MBWENI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/singida-black-stars-yaichapa-jkt.html. Terimakasih atas perhatiannya.