WENYEJI, Kengold wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Mabao ya Kengold yamefungwa na mshambuliaji Suleiman Salim Rashid 'Bwenzi' dakika ya 33 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Fadhil Kisungi na la pili amefunga mshambuliaji Mzambia, Obrey Choro Chirwa dakika ya 83 akimalizia pasi ya Rodgers Gabriel.
Kwa ushindi huo, Kengold inafikisha pointi tisa katika mchezo wa 18, ingawa inaendelea kushika mkia katika ligi ya timu 16, wakati Fountain Gate inabaki na pointi zake 21 za mechi 18 pia nafasi ya saba.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/pz1ALrn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KENGOLD YAICHAPA FOUNTAIN GATE MABAO 2-0 UWANJA WA SOKOINE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/kengold-yaichapa-fountain-gate-mabao-2.html. Terimakasih atas perhatiannya.