WENYEJI, JKT Tanzania wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioninya leo Uwanja wa Meja Jenerali Michel Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya JKT Tanzania yamefungwa na mshambuliaji Edward Songo dakika ya 40 kwa penalti na beki Wilson Nangu dakika ya 61.
Kwa ushindi huo, JKT Tanzania inafikisha pointi 26 na kupanda kwa nafasi mbili hadi ya sita, wakati Kagera Sugar inabaki na pointi zake 15 nafasi ya 15 kwenye ligi ya timu 16 baada ya wote kucheza mechi 21.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/IjfXU2R
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang JKT TANZANIA YAICHAPA KAGERA SUGAR 2-0 MBWENI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/jkt-tanzania-yaichapa-kagera-sugar-2-0.html. Terimakasih atas perhatiannya.