WENYEJI, Azam FC wametoa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Namungo FC walianza kupata bao lililofungwa na Khamis Khalifa dakika ya 12, kabla ya Mgambia, Gibrill Sillah kuisawazishia Azam FC dakika ya 43.
Azam FC wangeweza kuondoka na ushindi kama si nyota wake, Feisal Salum kukosa penalti iliyopanguliwa na kipa, adhabu ambayo ilitolewa baada ya winga Iddy Suleiman ‘Nado’ kuangushwa kwenye boksi.
Kwa matokeo hayo, Azam FC inafikisha pointi 45 katika mchezo wa 22, ingawa inabaki nafasi ya tatu — na Namungo nayo inatimiza pointi 23 katika mchezo wa 22 pia na kupanda kwa nafasi moja hadi ya 12 kwenye ligi ya timu 16.
Ikumbukwe mwisho wa msimu timu mbili zitashuka Daraja na mbili nyingine zitakazomaliza nafasi y 14 na 13 zitamenyana baina yao na mshindi wa jumla atasalia Ligi Kuu, wakati timu itakayofungwa itakwenda kumenyana na timu ya Championship kujaribu tena kubaki Ligi Kuu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/Kt7HnUf
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YANANWA CHAMAZI, SARE 1-1 NA NAMUNGO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/azam-fc-yananwa-chamazi-sare-1-1-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.